Lissu awazuia wabunge wa chadema kuhudhuria uzinduzi wa act-wazalendo. Lissu awazuia wabunge wa Chadema kuhudhuria Uzinduzi wa Chama cha ACT-WAZALENDO. Amesema atakaye hudhuria ni msaliti ndani ya Chadema na hatua kali zitachukuliwa dhidi ya mbunge huyo
Comments
Post a Comment