Kikwete Asalimu Amri Kwa Ukawa, Wakubaliana Kurekebisha Katiba iliyopo! Katiba Mpya Hadi Baada ya 2015 Cheyo anasema wamekubaliana na Jakaya Kikwete kuwa Bunge lirekebishe Katiba Iliyopo. Aidha, anasema wamekubaliana marekebisho yaruhusu Matokeo ya Urais yaweze kuhojiwa Mahakamani na kuwepo na Mgombea Binafsi uchaguzi 2015
Hivyo basi Mchakato wa Katiba Mpya utaendelea baada ya uchaguzi 2015!
Comments
Post a Comment